TOFAUTI KATI YA FASIHI SIMULIZI NA ANDISHI
Tofauti kati ya Fasihi Andishi na Fasihi Simulizi FASIHI SIMULIZI FASIHI ANDISHI 1. Huwasilishwa kwa njia ya mdomo na/au matendo. Huwasilishwa kwa njia ya maandishi 2. Ni mali ya jamii. Kazi andishi ni mali ya mwandishi (na mchapishaji) 3. Msimulizi anaweza kubadilisha sehemu fulani Kitabu kilichoandikwa hakiwezi kubadilishwa 4. Huhifadhiwa akilini Huhifadhiwa vitabuni 5. Kazi simulizi hubadilika na wakati Kazi andishi haibadiliki na wakati 6. Huhitaji msimulizi na hadhira yake wawe mahali pamoja wakati wa masimulizi Msomaji anaweza kusoma kitabu cha hadithi peke yake, mahali popote, wakati wowote 7. Mtu yeyote anaweza kutunga na kusimulia Ni lazima mwandishi na msomaji wawe na uwezo wa kusoma 8. Hutumia wahusika changamano (wanyama, wat...
Comments
Post a Comment